Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba SC kulipa kisasi kesho

Ijumaa , 1st Mar , 2024

Kocha Mkuu wa Simba Abdelahak Benchikha amesema kuwa wanachohitaji kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy, Uwanja wa Mkapa ni ushindi.

Kikosi cha Simba kina kibarua cha kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wakipata ushindi wanakuwa na uhakika wa kutinga hatua ya robo fainali Afrika.

Ipo wazi kwamba watani wa jadi wa Simba ambao ni Yanga tayari wana uhakika wa kushiriki robo fainali wakiwa na pointi 8 baada ya kucheza mechi tano za makundi leo Machi Mosi watakuwa na kazi dhidi ya Al Ahly kukamilisha mchezo wa sita katika makundi.

Kocha wa Simba amebainisha kuwa wanahitaji matokeo kwenye mchezo wao bila kuangalia matokeo ya timu pinzani.

“Uzuri ni kwamba tutakuwa na mashabiki kwenye mchezo wetu na ambacho tunahitaji ni ushindi bila kujali matokeo ya timu nyingine muda ni sasa na tunaamini itakuwa hivyo kwa kuwa maandalizi yapo vizuri.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku Machi 2 2024.

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross