Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni vita ya kisasi au heshima leo Yanga Vs Simba

Jumatano , 13th Jan , 2021

Fainali ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2021 inapigwa leo usiku, uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Tanzania Simba na Yanga, itakuwa ikiumana kwenye mchezo huo wa fainali utakaopigwa Saa 2:15 Usiku.

Msimu huu kwenye mchezo wa ligi kuu Simba na Yanga zilitoshana nguvu kwa sare ya bao 1-1

Yanga ndio walikuwa wa kwanza kutinga hatua ya fainali baada ya kuitoa kuitoa Azam FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 5-4 baada ya mchezo huo wa nusu fainali ya kwanza kumalizika kwa sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90.

Kwenye nusu fainali ya pili Simba SC waliitoa Namungo kwa kuifunga mabao 2-1 na Simba kujihakikishia nafasi ya kucheza fainali ya pili mfululizo ya mashindano haya. Katika fainali ya msimu uliopita Simba SC walipoteza mchezo huo mbela ya Mtibwa Sugar.

Miamba hii miwili kutoka mitaa ya K/koo jijini Dar es salaam, itashuka dimbani ikiwa na kumbukumbu ya kugawana alama kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2020-21 na mchezo huo ulimalizika kwa sare ya bao 1-1.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita