
Darren Earles mwenye miaka 52 ambaye alijiunga na klabu hiyo mwaka 2022 baada ya klabu hiyo kumilikiwa na taasisi ya uwekezaji ya Saudia Arabia ya PIF imetajwa ya kuwa ataendelea kuwa kwenye nafasi hiyo mpaka timu hiyo itakapo tangaza mtendaji mkuu mwingine.