Jose Mourinho
Mchezo huo, wa kesho unawakutanisha tena makocha Mahasimu, Mourinho, na Pep Guardiola, wakati timu zao, zilipokutana katika mwezi wa Septemba na Manchester City kushinda 2-1 kwenye ligi ya EPL.
Mourinho, amesema wapo kwenye kipindi kigumu, sana, lakini watajitahidi kuishinda hali hiyo, baada ya kupoteza baadhi ya michezo ya ligi hivi karibuni.


