Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipuli yawaacha nyota wake

Jumatano , 16th Mei , 2018

Timu ya Lipuli FC inatarajiwa kushuka katika dimba la Manungu Turiani Mkoani Morogoro kuvaana na Mtibwa Sugar huku ikiwa inawakosa nyota wake sita kutokana na sababu mbalimbali zilizokuwa nje ya uwezo wao.

Hayo yamebainishwa na Kocha wa Lipuli, Seleman Matola wakati akizungumzia maandalizi ya mwisho ya kikosi chake kinachoenda kutafuta alama tatu mbele ya Mtibwa Sugar kwenye muendelezo wa kumaliza michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa mwaka 2017/18 na kuwataja nyota hao kuwa ni Jamali Mnyate, Stephen Mganga, Golikipa Yusuf, Fred Tangaru, Omega pamoja na Emmanuel Kichiba. 

"Tunaendelea vizuri maandalizi yetu dhidi ya Mtibwa Sugar japo nina amini mechi hii itakuwa ngumu sana kwa sababu Mtibwa ni miongoni mwa timu ngumu katika ligi kuu. Katika mchezo wa leo tutawakosa baadhi ya wachezaji kutokana na kuwa majeruhi wengine wana kadi za njano pamoja na kuwepo na matatizo ya kifamilia", amesema Matola.

Aidha, Matola amesema japokuwa timu yake itawakosa wachezaji hao lakini imejipanga vizuri kuhakikisha wanapata matokeo mazuri katika mchezo huo ili iweze kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi.

Lipuli FC kwa sasa inashikilia nafasi ya 8 kibindoni ikiwa na alama 32 kwa michezo 27 huku Mtibwa Sugar yenyewe ikishika nafasi ya 6 kwa alama 37 yenyewe ikiwa imecheza michezo 27.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ