Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Idadi ya watoto anaotaka Ronaldo

Ijumaa , 17th Nov , 2017

Staa wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amesema anataka kushinda tuzo saba za Ballon d'Or pamoja na kupata watoto saba.

Ronaldo amefanikiwa kupata mtoto wa 4 wiki hii baada ya mpenzi wake Georgina Rodriquez kujifungua mtoto wa kike ambaye amepewa jina la Alana Martina.

Alana Martina ametanguliwa na kaka zake watatu ambao ni Cristiano Jr pamoja na wengine wawili ambao ni mapacha waliozaliwa mwanzoni mwa mwaka huu.

Ronaldo mwenye miaka 32 amesema “Nataka kuchukua tuzo za Ballon d’Or mara saba pamoja na kupata watoto saba, nina uhakika hilo litatimia kwasababu nina umri wa miaka 32 na bado najihisi kuwa mwenye nguvu”, amesem Ronaldo.

Hadi sasa Ronaldo amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA mara mbili mfululizo akimshinda mpinzani wake Lionel Messi. Ronaldo bado anapewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or 2017 kutokana na mafanikio ambayo ameyapata msimu uliopita akichukua ubingwa wa La Liga pamoja na UEFA.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita