
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia) akimpatia cheti Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira na wa GGML, Dk. Kiva Mvungi kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika Mfuko wa Udhamini wa Ukimwi (ATF) katika kuisaidia Serikali kuendeleza mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI. Ni katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Morogoro

Picha ya Young Lunya kushoto, upande wa kulia ni Country Wizzy

Picha ya Ferooz

Picha ya Lil Wayne

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko (katika) akiwa na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wadau wa maendeleo ikiwamo Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo iliwakilishwa na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa GGML, Dk Kiva Mvungi (wa kwanza kulia waliosimama) na Meneja Uhusiano na Mawasiliano, Stephen Mhando (wa kwanza kushoto waliosimama).