
Mchekeshaji Idris Sultan
Katika kuelekea siku ya wanawake Duniani inayofanyika kila mwaka ifikapo Machi 8 kila mwaka, ameyaandika hayo hii leo Machi 6, 2021, kupitia ukurasa wake wa Twitter.
"Mwanamke anaipa Dunia kila anachokipenda kuanzia busara, malezi na mpaka mtoto wa kutoka tumboni mwake, kusingekuwa na Mungu basi yeye ndiye angeabudiwa," ameandika Idris.