Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Panya Magawa yupo Single" - Pendo Msegu

Jumanne , 6th Oct , 2020

Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu, amesema panya huyo yupo single na hatakiwi kuwa kwenye mahusiano kwa sababu anatakiwa afanye kazi ya kutegua mabomu na kuokoa maisha ya watu wengine.

Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Pendo Msegu amesema panya huyo yupo kikazi zaidi kwa sasa mpaka pale atakapostaafu, pia anaweza ukampatanisha na panya wa kike lakini wasikubaliane kuwa kwenye mahusiano.

"Panya Magawa yupo 'single' kwa sasa na yupo kikazi zaidi, hatuwezi kusema ameingia kwenye mahusiano kwa sababu anaishi pekee na anatakiwa aangalie zaidi kazi na kuokoa maisha ya watu, tumemuwekea mazingira ambayo hatakiwi kuwa na mwanamke maana atamchanganya" ameeleza Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu

Aidha Mkufunzi huyo ameendelea kusema "Kuna panya maalum ambao wapo kwa ajili ya uzalishaji na tunawatambulisha kwamba huyu ndiyo mwenzake kama akikubali sawa maana anaweza kukataa, pia tutaona dalili za makubaliano yao na tukitaka kuwaweka kwenye mahusiano tunaangalia utofauti wa umri na mwili".

Panya Magawa ana umri wa miaka mitano ila mwezi Novemba atatimiza miaka 6, na kwa sasa yupo nchini Cambodia kwa ajili ya kufanya kazi.
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi