Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki awatetea wasanii kutosoma

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Msanii Nikki wa Pili amedai kuwa watanzania wengi hawajapata elimu kutokana na kuwa mfumo wa elimu Tanzania unabagua watu na ndiyo maana hata wasanii wengi hawajaenda shule na siyo kwamba hawapendi shule.

Msanii Nikki wa Pili

Nikki amefunguka hayo na kusema kuwa mchakato wa michujo inayotumika kupata wasomi imekuwa ikiwatenga wanafunzi wenyewe na hali hiyo inasababishwa na elimu inayotolewa ili kumkuza mwanafunzi.

Nikki amesema kwamba licha ya kulalamikiwa wanafunzi wanalega shule ni kutokana na kukosa mfumo bora wa kuwapelekea wao kutimiza ndoto zao zaidi ya kukaririshwa kuhusu elimu.

"Nikienda shuleni sasa hivi nikimuambia mwalimu anipe wanafunzi 10 wenye akili ataniletea anayejua hesabu, physics na masomo mengine lakini sitaletewa mwanafunzi anayejua kuchonga au anayejua muziki 'so' ikifika hapo unakuta mwanafunzi mwenyewe anaamua kufuata kile ambacho anaona anakiweza. Hivyo kwa mfumo huu hata wasanii wengi unakuta hawaendi shule" , amesema Nikki.

Aidha Nikki ameongeza, "Mtu kama Joh Makini na Rama Dee wana elimu za muziki ambayo wamejifunza, hivyo lazima watafanya vizuri, tofauti kama wangekuwa wanafanya kitu ambacho hawakipendi.

 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi