Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrisho Mpoto alia na wanasiasa

Alhamisi , 23rd Mar , 2017

Msanii Mrisho Mpoto amewaomba wanasiasa waachie ‘gap’ kidogo ili wasanii nao waweze kupata muda wa kutambulisha kazi zao za sanaa kwa jamii ambayo sasa imetekwa na upepo wa siasa.

Mrisho Mpoto

Hayo yameibuka kutokana na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na baadhi ya wasanii wakiongozwa na Mpoto kuandika katika mitandao ya kijamii kuwataka wanasiasa wajaribu kidogo kupunguza kasi yao ili nao waweze kusikika.

“Mtu amewekeza hela nyingi na anajaribu, anakuta hakuna ‘gap’ kwenye soko kwa sababu macho, mawazo yote ya watu yamehamia katika siasa.  Kwa hiyo nikasema hii ni hatari kwasababu unaweza sema labda kesho, keshokutwa patatulia, mtondo, mtondogo patatulia, unaichukulia kama mzaha vile lakini sasa unaona kila kukicha kuna ‘breaking news’ kwa hiyo nikasema hapana tafadhari kidogo watupe ‘gap’ kidogo ili watu waweze kufanya ‘promotion’ za nyimbo zao”. Alisema Mrisho

Aidha msanii huyo amesema siyo kweli kwamba wanasiasa hawaelewi chochote wanachowafanya wasanii na watu wengine wanaotegemea upepo wa ‘promo’ katika kufanya na kutangaza kazi zao.

“Wanasiasa wenyewe wanajua leo tukiamshe kipi siyo kwamba hawajui wana-strategy kabisa kesho tuamshe hiki keshokutwa tuamshe kile”. Alisisitiza Mpoto

Vile vile Mjomba amesema kwa sababu wanamsikia anawaomba kidogo ‘slow down’ ili vijana wao waweze ku-boost kazi zao kwa sababu ‘investment’ kubwa wameweka katika hizo shughuli, muda pamoja na fedha.

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross