msanii Mirror wa nchini Tanzania
Kwa mujibu wa msanii huyu, pamoja na meneja wake, Petit Man, suala hili limefanikiwa baada ya kuwa na maelewano na ukaribu mzuri na Chameleone.
Mirror ameongezea kuwa upo mpango wa kusafiri kwenda kukamilisha sehemu ya kazi iliyobakia huko Uganda muda wowote kuanzia sasa.


