Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Darassa amuiga Prof Jay

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Msanii Darassa amesema kwamba katika maisha yake anatembea kupitia darasa la Prof. Jay hata kama hataweza kuwa mbunge atajitahidi kuishi kwenye misingi iliyo imara.

Akizungumza Jumapili hii kwenye tafrija iliyoandaliwa na Prof Jay kwenye jimbo la Mikumi, Darassa amesema kwamba tangu ameanza kumjua nguli huyo wa hip hop bongo na kumfuatilia amekuwa nguzo kubwa ya kumuongoza na jinsi ya kutokubali kushindwa.

"Prof Jay ni mtu ambaye amekuwa na ushawishi mkubwa sana kwangu. Alianza kupigania huu muziki kuanzia bahari ya muziki wa bong fleva haiko sawa na sasa hivi imetulia ametuachia wadogo zake, lakini pia ametuonesha siyo muziki tu hata unaweza kuwa kiongozi na watu wakakupatia heshima akawa mbunge na sasa hivi tunasherehekea harusi yake amekuwa baba wa familia. Kwa upande wangu nitazidi kujifunza kupitia Jay hata kama sitakuwa Mbunge lakini nitaishi katika misingi kama ya kwake", alisema.

Akizungumzia jinsi Prof alivyoweza kumtambua kama msanii darassa amesema kwamba

"Madini siku zote yanajuana. Kwa mara ya kwanza nilimsikia Prof akinisifia kwenye redio kipindi mimi nikiwa bado mtaani nahangaika kupata nafasi nikiwa na wimbo mmoja wa 'Sikati Tamaa' na alinitabiria makubwa na hata siku naonana nae alinitia nguvu sana ndio maana nasema atazidi kuwa Mwalimu wangu" Darassa

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari