Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol asimulia alivyoomba 'lift' kwa Darassa

Jumatano , 11th Jan , 2017

Mwanamuziki Ben Pol anasema kwa mara ya kwanza aliposikilizishwa wimbo wa 'Muziki' wa Darassa aliwaza mambo mawili katika akili yake.

Ben Pol

Jambo la kwanza anasema aliwaza kuwa wimbo ule ulikuwa unahitaji mwimbaji lakini kingine aliona wimbo ule ni 'hit song' hivyo anahitaji kupata lifti kwenye wimbo huo.

Ben Pol alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo na kusema ilibidi amshawishi Darassa kwa kumwambia kuna sauti anataka kuiweka kwenye wimbo huo ili msanii yoyote akayekuja kuimba apite kwenye njia hizo.

"Nakumbuka tulikuwa Singida na Darassa akanisikilizisha ule wimbo, nilipousikia niliwaza mambo mawili moja niliwaza kuwa wimbo ule ulikuwa unahitaji mwimbaji, lakini niliona ile ngoma ni 'hit song' hivyo nilikuwa nahitaji lifti, nikamwambia Darassa tukirudi mjini naomba nikuwekee sauti kwenye wimbo huo ili mtu yoyote atakayekuja kuimba apite njia hizo, lakini baada ya kuweka sauti yangu baada ya hapo Producers walisema tu nimalize mwenyewe" alisema Ben Pol 

Darassa

Mbali na hilo Ben Pol anasema ameamua saizi kufanya kazi na watu ambao wanaweza kusimamia kazi zao na si wale ambao wanafanya kazi harafu wanaziweka ndani au hawazipi nguvu kazi hizo.

"Saizi nimeamua ni bora nifanye kazi na watu wachache ambao kazi zao watazifanyia kazi siyo kufanya kazi na wasanii 40 harafu watatu tu ndiyo wanazipa nguvu kazi sasa si bora nifanye na watu watatu ambao naona kabisaa watazifanyia kazi ngoma hizo na kuzifikisha mbali zaidi" alisema Ben Pol 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ