Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahamiaji haramu wakamatwa Kilimanjaro

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Jumla ya Wahamiaji haramu 47 raia wa Ethiopia na Somalia  wamekanatwa mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria 

Wahamiaji hao wamekamatwa usiku wa kuamkia leo Agosti 11, 2022 saa 9 usiku wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro ambapo inaelezwa walikuwa wakielekea nchini Afrika Kusini na Malawi 

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyeki wa ulinzi na usalama Nurdini Babu ameipongeza idara ya uhamiaji pamoja na jeshi la polisi  kwa kushirikiana vyema katika kuhakikisha mkoa wa Kilimanjaro unakua salama ikiwa ni pamoja na kuwabaini wahamiaji haramu wanaoingia kinyemela bila kufuata kanuni na taratibu

Akizungumza wakati wa ushushwaji wa wahamiaji hao haramu amesema wahamiaji hawakatazwi ila sio wahamiaji haramu na nchi ya Tanzania ni huru hivyo sheria na kanuni za uhamiaji ni vyema zikafuatwa.

Idara ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro  ikishirikiana na kamanda wa jeshi la polisi mkoa imeendesha oparesheni maalum katika mpaka wa Tanzania na Kenya iliyofanikisha kuwkaamata wahamiaji hao

Mkuu wa uhamiaji mkoani Kilimanjaro Edward Mwenda amewaambia waandishi wa Habari kuwa oparesheni hiyo inalenga kutokomeza wahamiaji hao kutumia Tanzania kama uchochoro
 

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross