Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yakumbwa na kashfa

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Mkazi mmoja  wa kijiji cha Nyambale wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera ameilalamikia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kwa kushindwa kumkamata Mkuu wa Kituo cha Polisi Lusahunga anayedaiwa kuomba rushwa ya shilingi Milioni moja ili

aweze kuziachia ng'ombe 20 alizozikamata wakati zikipelekwa mnadani kwa madai kuwa hazikuwa na vibali vya kusafirishwa.

Akibainisha hayo mbele ya kamera za ITV Bi Bilatwa Mabuga katika kijiji cha Kibale na kusema kuwa tukio hilo limetokea wakati akisafirisha mifugo yake kutoka wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kwenda kwenye mnada wa katoke wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kitongoji cha Kabumbilo Bw.  Paul Mussa aliyehusika kuwadhamini watuhumiwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Biharamulo Bi. Joyce Massi amelaani vikali unyanyasaji uliotokea.

Akijibu malalamiko hayo kwa masharti ya kutopigwa picha Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Biharamulo Bw.Hassan Mossi amekiri kupokea malalamiko ya mfugaji huyo

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi