
Picha si halisi
Kwa mujibu wa Baba mzazi wa marehemu, Emanuel Kaliambe, ni kwamba tukio hilo lilitokea majira ya saa moja jioni katika mtaa wa Mjimwema Magomeni Jiji la Tanga.
Kaliambe amesema siku ya tukio yeye na mtoto huyo walienda nyumbani kwa mdogo wake na hapo mtoto huyo aliomba shilingi mia ya kununua pipi na baada ya kupewa alitoka na kuelekea dukani ambako hakurudi tena.