Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makusanyo ya kodi yaongezeka kwa 12.74%

Jumanne , 17th Jan , 2017

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa ukusanyaji wa mapato katika kipindi cha nusu mwaka wa fedha 2016/17 umeongezeka kwa asilimia 12.74

Richard Kayombo - Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi (TRA)

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi Bw. Richard Kayombo imesema kuwa katika kipindi cha miezi sita ya mwaka wa fedha 2016/17 yaani kuanzia Julai hadi Desemba 2016, TRA imekusanya kodi jumla ya shilingi trlioni 7.27 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka wa fedha 2015/16.

Mlinganisho wa makusanyo kwa mwaka wa fedha 2015/16 na 2016/17 uko kama ifuatavyo:

Kayombo amesema mambo yaliyochangia ongezeko hilo ni pamoja na kuongeza ufanisi katika ukusanyaji, kuhimiza maadili mema kwa watumishi, kuboresha mifumo ya ukusanyaji, kuziba mianya ya upotevu wa mapato, pamoja na kuhimiza na kufuatilia matumizi ya mashine za kielektroniki pamoja na ukusanyaji wa kodi za majengo.

Pia amewataka wafanyabiashara kuwasilisha ritani zao za VAT kabla ya tarehe 20 kila mwezi kwa mujibu wa sheria.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini