Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli ataja kilichowaponza Kaliua

Jumatatu , 21st Sep , 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli, amesema kuwa jana alipita Jimbo la Kaliua wananchi wakamlilia kuhusu suala la ujenzi wa barabara ya lami ambapo aliwaambia sababu kubwa ni kuwa walikosea katika kuchagua wawakilishi wao.

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli.

Magufuli ametoa kauli hiyo leo Septemba 21, 2020, wakati akiomba kura kwa wakazi wa jimbo la Urambo mkoani Tabora, na kuongeza kuwa mradi wa maji ya kutoka Ziwa Victoria ukikamilika wilayani Urambo, atauhamishia Kaliua kwa kuwa anaamini mwaka huu hawatakosea.

"Uongozi haujaribiwi Kaliua walijaribu waliyaona katika miaka mitano iliyopita, nilifika pale jana wakaanza kuniambia barabara ya lami, barabara ya lami, kwani hamkuwaona hao mliokuwa mnawachagua, hayo ndiyo makosa makubwa yanayoweza kufanywa na wapiga kura", amesema Dkt Magufuli.

Aidha Dkt Magufuli ameongeza kuwa, "Nataka wananchi wa Tabora waanze kuoga maji ya ziwani, nikasema kwamba mradi ukimalizika Urambo tutaupeleka Kaliua kwa sababu nina matumaini mwaka huu Kaliua hawatafanya makosa ambayo wameyafanya kwa miaka mitano iliyopita na wakifanya makosa muwaambie shauri yao".

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ