Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kamati kuchunguza migogoro ya mipaka Singida

Jumanne , 6th Dec , 2022

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja, amesema serikali itaunda kamati ya kuangalia migogoro ya mipaka na vijiji vinavyozunguka msitu wa Hifadhi ya Bonde la  Wembere uliopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja, akizungumza na wananchi wanaozunguka Hifadhi ya Bonde la Wembere

Ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi kuhusu mgogoro wa mipaka kwenye eneo la ardhi oevu katika Kijiji cha Msai na Ujungu mkoani Singida.

Amesema kamati hiyo itaishauri serikali endapo kuna umuhimu wa kurekebisha mipaka na kama eneo hilo litafaa kwa ajili ya shughuli za kibinadamu au la.

"Kuanzia leo tunaunda kamati ambayo itajumuisha wataalam kutoka ngazi ya Wizara, mkoa na wilaya na zoezi hilo litaanza mara moja na itapitia mipaka kwa kushirikiana na wananchi ili kuainisha mipaka halisi kwa kuzingatia ramani iliyopo ili kumaliza mgogoro huo," amesema Naibu Waziri Masanja.

Naibu Waziri huyo pia amewataka wananchi hao kuzingatia sheria za kutovamia maeneo ya hifadhi na kuwa walinzi wa eneo hilo mara tathmini itakapokamilika. 

Kuhusu changamoto ya wafugaji wanaopitisha ng'ombe katikati ya hifadhi kwa ajili ya kupeleka mifugo yao kunywa maji amesema, serikali itaangalia namna iliyobora ya kutatua changamoto hiyo ili wananchi wasiingiliane na masuala ya uhifadhi.

Naye, Mbunge wa Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka viongozi wa Kata na vijiji kushirikiana na kamati iliyoundwa wakati wa kupitia upya usahihi wa bikoni zilizowekwa.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ