Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM amzungumzia Balozi aliyekula hela za serikali

Jumatatu , 25th Jan , 2021

Rais Dkt. John Magufuli, amemuomba Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde, kukirudisha kiwanja ambacho kilitengwa kwa ajili ya Tanzania kujenga Ubalozi wake chini humo na kunyang'anywa kwa kushindwa kukiendeleza, baada ya pesa zilizotumwa kuliwa na aliyekuwa Balozi wa wakati huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 25, 2021, mara baada ya kumaliza kufanya mazungumzo ya faragha na Rais huyo yaliyohusu ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, na kuahidi kwamba kama nchi ya Ethiopia itakirudisha kiwanja hicho basi serikali itahakikisha inakiendeleza.

"Nimemueleza pia ombi letu dogo kwenye uwanja wetu kule Ethiopia ambao tulichelewa kuujenga kwa sababu ni ukweli, zile hela tulizozipeleka kule kujenga zililiwa na Balozi wetu huko, siyo huyu anayekaimu Ubalozi, ni aliyekuwepo na tukamrudisha nyumbani kwahiyo tukawa tumechelewa kuenga", amesema Rais Magufuli.

"Tukashindwa kuzingatia masharti ya sheria za kule kwamba, kiwana ukipewa na usikiendeleze unanyang'anywa, tumemuomba Mh. Rais aturudishie na tumeahidi tutakiendeleza kwa kukijenga  na pale Dodoma tumewapa hekari tano na wao waziendeleze kwa kujenga ubalozi wao", ameongeza Rais Magufuli. 
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita