Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jiko la mkaa lauwa Wanafunzi wawili Singida

Jumapili , 7th Mar , 2021

Wanafunzi wawili waliojulikana kwa majina ya Salome Joseph na Neema Kulwa ambao ni wa kidato cha pili katika shule ya Sekondari Makuru iliyopo kijiji cha Msemembo kata ya Makuru wilayani Manyoni mkoani Singida, wamefariki dunia.

Majiko yaliyokuwa kwenye nyumba hiyo

Vifo hivyo vimetokea baada kuingiza ndani ya nyumba jiko la mkaa walilokuwa wakipikia hali inayosadikiwa kusababisha kifo chao kwa hewa nzito ya mkaa.

Hali ya majonzi imetawala kwa wakazi wa Kata hiyo ya Makuru kufuatia tukio hilo la kusikitisha kwa wanafunzi hao ambao ni wasichana waliokuwa wamepanga chumba ili kuendelea na masomo yao, wakitoka kijiji cha Hika.

Mwenyekiti wa kijiji cha Msemembo Onesmo Mwaja amesema chanzo cha tukio hilo ni kukosa hewa iliyosababishwa na moto wa jiko la mkaa walilokuwa wakitumia majira ya usiku.

Kwa upande wa Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Manyoni Ramla Munisi, akizungumza na waombolezaji amesema idara yake itaanza ziara ya kutoa elimu kwa wanafunzi wanaoishi kwenye nyumba za kupanga.

Hata hivyo diwani wa kata hiyo ya Makuru Moses Matonya amehimiza kuanza ujenzi wa mabweni ili kuepukana na matukio kama hayo.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi