Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huu ndiyo undani wa utapeli wa lambalamba

Alhamisi , 6th Mei , 2021

Wananchi wa Kijiji cha Mawenzusi, Sumbawanga mkoni Rukwa, wamelalamikia utapeli unaofanywa na waganga wanaojiita lambalamba wanaopita majumbani na kuwaaminisha kuwa wamewekewa vitu vya kishirikina na mahasidi wao na wakiingia ndani hufukia vitu vyao na kisha kuvitoa na kutaka walipwe.

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mwenzusi, Sumbawanga

Wananchi hao wametoa kero hiyo mbele ya mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfani Haule, mara baada ya kuwatembelea katika kijiji hicho alipokuwa akikagua miradi ya maendeleo huku mwenyekiti wa kijiji hicho akikiri kushindwa kudhibiti utapeli huo.

"Nimekaa kupinga vitendo hivyo mpaka nimekaliwa vikao na vijana kiasi kwamba hata kutembea kwangu ni kwa wasiwasi", ameeleza mmoja wa wananchi hao

"Suala la lambalamba ni tatizo sana hapa kijijini ninaomba msaada wa kufa na kupona, niokolewe kwa sababu itafika wakati madhara yatatokea na itaonekana kwamba mimi Mwenyekiti ninahusika", ameeleza Mwenyekiti wa Kijiji hicho
 
Naye mwenyekiti wa waganga wa tiba asili mkoani Rukwa, Michael Jackson, amekemea vikali suala hilo huku akisema kuwa suala hilo halitambuliki kwa mujibu wa sheria zao na hivyo kinachofanywa ni wizi na utapeli kwani hawana vibali.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa watu hao wamepita kila vijiji vya wilaya hiyo na baadhi yao wamekwishakamatwa hivyo serikali itawachukulia hatua na mkondo wa sheria lazima ufuatwe.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari