Jumamosi , 8th Jan , 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Baraza lake la Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu hii leo Januari 8, 2022.

Kushoto ni aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi na Kulia ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi

Miongoni mwa wale ambao walikuwa mawaziri lakini hawajateuliwa ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, aliyekuwa Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji Geoffrey Mwambe na aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo.

Tazama video hapa kuona walioteuliwa