Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Familia ya aliyelawitiwa haina ndugu anaitwa Benja

Ijumaa , 29th Mar , 2024

Familia ya mtoto aliyefanyiwa ukatili imekanusha kuwa hawana ndugu yeyote anayeitwa Benjamin Augustino wala kwenye familia yao hakuna mtu aliyekamatwa kutokana na sakata hilo.

Bibi wa mtoto aliyelawitiwa

Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa taarifa ambazo zimeanza kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mjomba wa mtoto huyo aliyetajwa kama Benjamin Augustine ambaye amekamatwa kwaajili ya mahojiano na uchunguzi kama amewahi kuhusika kumfanyia mtoto ukatili huo akiwa nyumbani. 

Akiongea na EATV asubuhi ya leo Machi 29, 2024 Bibi wa mtoto huyo amesema kwenye familia yao hakuna mtu mwenye jina la Benjamin upande wa baba wala wa mama na wao wanashangaa kuona kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna ndugu yao amekamatwa.

Aidha ameiambia EATV, mtu pekee wanayemfahamu mwenye jina la Benjamin ni mtoto ambaye alikuwa anaishi jirani na hapo ambae alikuja mwaka jana 2023 likizo ya kusubiri kuanza kidato cha kwanza baada ya kumaliza darasa la saba mkoani Mtwara.

Bibi anasema huyo Benjamin ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza mkoani Mtwara na kaka yake na Benjamin ni dereva wa bodaboda ambaye jana Machi 28, alikuwa akiwatembeza polisi kwa ajili ya kufanya uchunguzi kwa majirani kuhusu tukio hilo.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ