Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ataka Wabunge wasipewe fomu 2020, mpaka wapimwe

Jumanne , 20th Aug , 2019

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi, Mkoa wa Dar es salaam, Musa Kilakala, amependekeza kupimwa kwa baadhi ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kile alichodai kuna baadhi yao

wanajihusisha na matendo yasiyokuwa na maadili ikiwemo kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Musa Kilakala ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Tanga Kijani, iliyofanyika mkoani Tanga, ambapo amemuomba Spika Ndugai kama ambavyo Bunge limeazimia kupimwa ulevi kwa Wabunge, pia liwapime Wabunge ambao wanahisiwa wanajihusisha na vitendo hivyo.

"Kuna mkakati mkubwa kuna baadhi ya Wabunge kuna jambo wamekubaliana, na wanataka kutuletea mambo yasiyofaa ndani ya nchi yetu, na lengo lao kubwa ni kutetea mapenzi ya jinsia moja." amesema Kilakala.

"Napendekeza ikifika uchaguzi 2020, lazima kuna baadhi ya Wabunge wapimwe kabla hawajapewa fomu, namuomba Spika Ndugai kama ameweka vipimo, vya kuwapima baadhi ya Wabunge kuhusiana na ulevi pia aanze kuwachunguza wanaotajwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja." amesema Kilakala.

Kwa sasa chama hicho kinafanya kampeni ya Kijani kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2020.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ