Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amuua Mkewe kwa madai ya kutumia (ARV) kwa kificho

Jumamosi , 8th Mei , 2021

Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Peter Elias (29) mlinzi na mkazi wa Ndembezi Mjini Shinyanga kwa kosa la kumuua mke wake Pili Luhende akimtuhumu kutumia Dawa za Kufubaza Makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) kwa kificho.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba tukio hilo limetokea Mei 3,2021 majira ya saa nne na nusu usiku katika mtaa wa Dome, Kata ya Ndembezi, Manispaa ya Shinyanga.

Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga tulipokea taarifa kuwa Pili Luhende, aliuawa na Peter Elias (29), mlinzi na mkazi wa Ndembezi ambaye ni mume wake baada ya kumpiga. Baada ya taarifa hiyo mtuhumiwa alikamatwa na kuhojiwa ambapo tarehe 06/05/2021 alionyesha alipoutelekeza mwili wa marehemu maeneo ya Mwagala darajani,” ameeleza Kamanda Magiligimba.

"Pia alibainisha kuwa alimpiga kwa kutumia ngumi na chanzo kikiwa ni mtuhumiwa kumbaini mkewe anatumia dawa za HIV yaani ARV kwa kificho hivyo ikamtia hasira na wamekuwa na ugomvi wa mara kwa mara kuhusiana na hilo,” ameongeza .

Amesema mwili wa marehemu umekutwa ukiwa umeharibika na umekabidhiwa kwa ndugu kwa taratibu za mazishi na kwamba mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ