Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Ajali ikitokea kaeni pembeni' - Kangi Lugola

Jumapili , 11th Aug , 2019

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema Watanzania hawana budi kujifunza kupitia tukio la ajali ya lori iliyopelekea vifo vya Watanzania zaidi ya 60.

Waziri Kangi Lugola ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV na EA Radio akiwa mkoani Morogoro, ambapo amesema pindi ajali za namna hiyo zinapotokea, wananchi hawana budi kuviachia vyombo vya ulinzi na maafa kushughulika na masuala hayo.

"Tukio hili sio la kwanza kutokea na kujifunza, ila niseme Watanzania hatuna budi kujifunza, matukio ya namna hii yanayopotokea tuviache vyombo vya usalama na majanga ya ajali viendelee kushughulika, sisi wengine tukae pembeni", amesema Lugola.

"Nawaomba Watanzania tuendelee kuwa na utamaduni wa kuwa na heshima na tuna sheria ya mitandao, sisi kama Serikali licha ya kukemea tutaendelea kufuatia wakina nani ambao wanaendelea kuzisambaza picha zizizofaa mtandaoni", ameongeza.

Mapema leo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefika mkoani Morogoro kwa ajili ya kushiriki mazishi ya watu waliopoteza maisha kwa ajali hiyo.

Fuatilia mahojiano kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini