Jumamosi , 7th Mar , 2020

Watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha huku mmoja akijeruhiwa kufuatia mvua kumbwa zilizonyesha usiku wa kuamkila leo Manispaa ya Morogoro, baada ya Daraja lililopo Mtaa wa Kihimbwa Kata ya Boma  kuziba na kusababisha maji kupita juu ya Daraja

Baadhi ya watu wakiwa sintofahamu baada ya kupokea taarifa ya vifo vya watu wawili

Kwa mujibu wa Mtendaji wa Kata ya Kihimbiwa Antipasi Kinange ambapo amesema mvua hiyo imeanza kunyesha usiku wa kuamkia leo na watu ambapo watu walienda dukani kwa ajili ya kununua bidhaa ndipo maji yalipozidi na kusomba na maji.

Waliofariki katika mvua hiyo ni mwanamke aliyefahamika kwa jina la Habia Sanga huku mwanaume akifahamika kwa jina moja la Salum

Tazama mahojiano kamili hapo chini.