Jumanne , 5th Oct , 2021

Baada ya mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram na WhatsApp kutofanya kazi kwa saa kadhaa inaelezwa kuwa utajiri wa mwanzilishi na Mkurugenzi mtendaji wa mitandao hiyo.

Picha ya mwanzilishi na Mkurugenzi mtendaji wa Facebook, Instagram na WhatsApp

Mark Zuckerberg umeshuka kwa wastani wa dola Bilioni 5.9 hadi 7 zaidi ya Trilioni 13 kwenye saa 6 ambazo ili-stuck.

Facebook, Instagram na WhatsApp ilipata matatizo ya kimtandao na kutofanya kazi kutokana na kufeli kwa mabadiliko ya mfumo na sio udukuzi kutoka nje ya kampuni ambapo imesababisha Mark kushuka mpaka nafasi ya 6 kwenye orodha ya matajiri Ulimwenguni akiwa na utajiri wa dola azidi ya Bilioni 116 kwa mujibu wa Forbes.