Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi na mtoto wa 3 katika familia ya watoto 5 Nina kaka 3
Ninaishi MAKONGO na WAZAZI
Mtaani kwangu najulikana kwa AJIRA YA DANCER
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) KUSUKA WATU NYWERE