ZAINABU AESHI MAGOA
Jina La Utani:
KIZAI ZAI
Jina La Kikundi:
Mchango Katika Kundi:
KUSIMAMIA MAZOEZI NA STEPS

Nimezaliwa mwaka 1993 wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 5 nina kaka 3 na dada 1

Ninaishi KWANGU na MCHUMBA

Mtaani kwangu najulikana kwa KIZAI ZAI

Mimi nimesoma mpaka FORM 3

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) KUSUKA

Mafanikio katika Fani: 
Mafanikio niliyoyapata ni kulipia ada ya mtoto pia na kusaidia nyumbani vitu vidogo vidogo pia kujisaidia mwenyewe mambo yangu pia najitegemea nakaa kwangu na kumsimamia mtoto shule.
Year: