Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya ILALA Mkoa DAR ES SALAAM
Mimi mi mtoto wa TATU katika familia ya watoto WANNE Nina kaka MMOJA na dada MMOJA
Ninaishi UKONGA na KWANGU
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA NNE
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) KUSUKA
Mafanikio katika Fani:
Inanipa kipato, inafanya nijulikane, inaufanya mwili wangu uwe unachangamka wakati wote, inanifanya niwe na furaha, inanifanya nipendwe na watu
Year: