Nimezaliwa mwaka 1993 wilaya ya KIGOMA MJINI mkoa wa KIGOMA
Mimi ni mtoto wa KWANZA katika familia ya watoto WAWILI
Ninaishi KWANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa BABY ZUU
Mimi nimesoma mpaka CHUO
Shughuli zangu za kila siku ( zaidi ya kucheza dansi) ni MWANAFUNZI WA CHUO
Mafanikio katika Fani:
Mafanikio niliyoyapata katika fani hii ni kuweza kujilipia ada ya chuo. kusaidia familia yangu na pia kujijenga kimaisha
Year: