SHAKIRA JUMA SAID
Jina La Utani:
SHAKIDERE
Jina La Kikundi:
Mchango Katika Kundi:
DANCER

Nimezaliwa mwaka 1993 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa MWISHO katika familia ya watoto WATATU nina dada WAWILI

Ninaishi MBAGALA na BABA na MAMA

Mtaani kwangu najulikana kwa UCHESHI NA UKARIMU

Mimi nimesoma mpaka FORM 4

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) KUIGIZA

Mafanikio katika Fani: 
Mafanikio yangu katika dansi nimeweza kujifunza vitu mbalimbali kutoka kwa wenzangu pia na michezo tofauti ya kudansi
Year: