msiba wa msanii YP wa kundi la TMK Wanaume Family uliofanyika Temeke Chan'gombe DSM
msanii wa kundi la TMK Wanaume Family marehemu YP
meneja wa TMK Wanaume Family Said Fella akiwa na Mkubwa na wanawe 'Yamoto band'
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.
Joh Makini
Mkuu wa kitengo Cha mawasiliano na Uenezi wa NCCR Edward Simbeye