Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.
Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.
Kikosi cha Serenget Boys
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.