Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.
Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.
Kikosi cha Serenget Boys
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira
Rais Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Stamina
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Blasius Chatanda, akionesha gari lililokamatwa na mirungi