Mkurugenzi wa kampuni ya Swala Oil and Gas, Abdullah Mwinyi (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Bi. Shyrose Bhanji.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk