 
Wasanii wa muziki nchini Mandojo pamoja na Domokaya
 
Kundi maarufu la miondoko ya Pop, Spice Girls
 
Msanii wa muziki nchini Uganda Moze Radio na mama mtoto wake Lilian Mbabazi wakiwa na mtoto wao
 
msanii wa muziki Joseph Haule aka Profesa Jay akiwa na msanii Joseph Mbilinyi aka Mr. II Sugu
 
wasanii wa muziki wa nchini Uganda Mose Radio , weasel TV na Chameleone
 
Wasanii wa kike wanaorap kutoka Kenya, Shani, Lesynem Junior na Corinne Kahi
 
mastaa wa muziki ambao ni wachumba Nuh Mziwanda na Shilole
 
Baadhi ya wasanii wa muziki na filamu wakiungana katika uzinduzi wa kampeni ya CCM Kitaifa.
 
Nyota wa muziki wa miondoko ya genge nchini Kenya, Mejja, Kid Kora na Madtraxx
 
kundi nyota la muziki wa miondoko ya reggae kutoka Jamaica Morgan Heritage
 
wasanii wa muziki wa kundi la Sauti Sol kutoka nchini Kenya wakiwa wamewasili leo asubuhi uwanja wa ndege wa JK Nyerere
 
Wasanii wa muziki ambao ni wapenzi Nuh Mziwanda na Shilole

 
 
 
 
 
 
 
