
Mshambuliaji wa Simba Mganda Emmanuel Okwi.
Mshambuliaji hatari wa timu ya Simba Mganda Emmanuel Okwi akimpiga chenga beki wa Gor Mahia ya Kenya.
Mshambuliaji Mganda Emmanuel Okwi akitambulishwa na mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zakaria Hans Pope.
Picha ya maktaba ya kikosi cha Azam FC kilichotwaa ubingwa msimu uliopita. Hii ilikuwa Jumapili ya Machi 30 mwaka huu dhidi ya Simba ambapo Azam walishinda 2-1

Patrick Patrick akiwasili Uwanja wa Ndege jijini DSM
Kocha mkuu wa Simba Mcroatia Zdravko Logarusic ametimuliwa rasmi hii leo.
Kikosi cha wachezaji wa Simba wakiomba dua katika moja ya michezo ya timu hiyo msimu uliopita.

Michael Wambura akiwa na baadhi ya wanachama wenzake waliofutwa uanachama na mkutano mkuu wa klabu ya Simba.

Mmoja wa wanachama wa klabu ya Simba waliofukuzwa uanachama Michael Wambura mwenye suti.
Kipa wa timu ya vijana ya chini ya miaka 20 ya Azam FC Hamad Juma akiwa amebebwa baada ya kuokoa penati dhidi ya Simba.
Baadhi ya viongozi wapya wa klabu ya Simba ambao hii leo wamekabidhiwa rasmi ofisi na mali za klabu hiyo.
Kocha mkuu wa Simba Zdravko Logarusic ambaye atawasili wiki ijayo akitokea nchini kwao Croatia alikokua mapumzikoni.

Baadhi ya Wanachama na Mashabiki wa Klabu ya Simba wakiangalia moja kati ya mechi za timu hiyo.