Mshambuliaji wa Simba Mganda Emmanuel Okwi.

7 Sep . 2014

Mshambuliaji hatari wa timu ya Simba Mganda Emmanuel Okwi akimpiga chenga beki wa Gor Mahia ya Kenya.

6 Sep . 2014

Mshambuliaji Mganda Emmanuel Okwi akitambulishwa na mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zakaria Hans Pope.

28 Aug . 2014

Picha ya maktaba ya kikosi cha Azam FC kilichotwaa ubingwa msimu uliopita. Hii ilikuwa Jumapili ya Machi 30 mwaka huu dhidi ya Simba ambapo Azam walishinda 2-1

20 Aug . 2014

Patrick Patrick akiwasili Uwanja wa Ndege jijini DSM

13 Aug . 2014

Kocha mkuu wa Simba Mcroatia Zdravko Logarusic ametimuliwa rasmi hii leo.

10 Aug . 2014

Kikosi cha wachezaji wa Simba wakiomba dua katika moja ya michezo ya timu hiyo msimu uliopita.

7 Aug . 2014

Michael Wambura akiwa na baadhi ya wanachama wenzake waliofutwa uanachama na mkutano mkuu wa klabu ya Simba.

5 Aug . 2014

Mmoja wa wanachama wa klabu ya Simba waliofukuzwa uanachama Michael Wambura mwenye suti.

3 Aug . 2014

Kipa wa timu ya vijana ya chini ya miaka 20 ya Azam FC Hamad Juma akiwa amebebwa baada ya kuokoa penati dhidi ya Simba.

26 Jul . 2014

Baadhi ya viongozi wapya wa klabu ya Simba ambao hii leo wamekabidhiwa rasmi ofisi na mali za klabu hiyo.

11 Jul . 2014

Kocha mkuu wa Simba Zdravko Logarusic ambaye atawasili wiki ijayo akitokea nchini kwao Croatia alikokua mapumzikoni.

5 Jul . 2014

Baadhi ya Wanachama na Mashabiki wa Klabu ya Simba wakiangalia moja kati ya mechi za timu hiyo.

4 Jul . 2014