
Mshambuliaji wa TP Mazembe Mtanzania Thomas Ulimwengu.

Ofisi za makao makuu ya TFF Karume jijini Dar es Salaam.

Beki kisiki wa kulia wa Yanga Juma Abdul.

Ofisi za Makao Makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania TFF.

Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakishangilia moja ya michezo yao.
Beki Hassan Ramadhan 'kessy' akiwa katika mazoezi ya Yanga.

Mshambulaji hatari wa timu ya taifa ya Chile Eduard Vargas.
Kikosi cha timu ya soka ya Yanga.
Baadhi ya wanafunzi wakijifunza mchezo wa mpira wa magongo

Ratiba ya michezo ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika makundi A na B.
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) Boniface Wambura.

Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam [katikati] akiwa na mabosi wa TFF.