.jpg?itok=dPNnFUZO×tamp=1473182570)
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji nchini(TIC), Juliet Kairuki

Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015

Mwenyekiti wa #BungeLaKatiba Mh Sitta akimkabidhi Rais @jmkikwete katiba inayopendekezwa

Rais Kikwete akiwa na wasanii Prof Jay na Mzee Yusuph

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania TCD John Cheyo (kushoto) akiteta jambo na James Mbatia ambaye ni mmoja wa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi - UKAWA.

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete.

Wachezaji watatu wa judo kwenye timu ya madola waachwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi

Rais Kikwete (Kushoto) akiwa na Aliko Dangote mmiliki wa kiwanda kikubwa zaidi cha Saruji duniani kilichoko Nigeria