
Staa wa muziki kike wa nchini Kenya Avril Nyambura

Wachezaji wa timu ya walemavu wa Tanzania wakijifua jijini Dar es Salaam.

Staa wa muziki wa nchini Kenya Sudi katika picha akiwa na marehemu mke wake Salma Lutevesi

Kundi la muziki la H_art band la nchini Kenya

Staa wa muziki nchini Kenya Colonel Moustapha

Kikosi cha mabingwa wapya wa kombe la Kagame 2015/2016 timu ya Azam FC ya Tanzania.

Kikosi cha Azam FC ambacho kitavaana na Gor Mahia.

staa wa muziki wa nchini Kenya Chantelle akiwa na mtoto wake

Aliyekuwa nguli katika tasnia ya maigizo Kenya, Marehemu Mzee Ojwang'

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.

Msanii wa muziki Akothee kutoka nchini Kenya akiwa na vijana aliojitolea kuwasaidia

msanii wa muziki wa nchini Kenya Victoria Kimani

Msanii kutoka kundi maarufu la muziki Longombaz, Christian