Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na Balozi wa Cuba nchini, Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo,ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Afisa uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Gaudensia Simwanza
Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Asasi za Kiraia(NACONGO)Bw. Onesmo Ole Ngurumwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamadi Masauni
Kushoto ni gari ya Msaidizi wa IGP,Ernest Mangu, Ndugu Gerlad Ryoba picha Ndogo ( Kulia)baada ya kutolewa eneo la tukio
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamiin Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Afya
Mabondia Thomas Mashali kushoto na Francis Cheka wakiwa tayari kwaaajili mpambano wao hapo jana.
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mh. Charles Mwijage
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.




