Wakazi wa eno la Kipunguni nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, wakiangalia mabaki ya helkopta mali ya Wizara ya Maliasili na Utalii, iliyoanguka katika eneo hilo na kuuwa watu wote wanne waliokuwa ndani yake hivi karubini.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.