Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akiongea na Wanahabari.
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene.
Wapagazi wakiwa wanawasindikiza watalii kupanda Mlima Kilimanjaro.
Wanafunzi wa moja ya shul;e za Sekondari Arusha wakionyesha vitabu walivyokabidhiwa kama Msaada.
Huduma za Simu ya mkononi kuwakomboa vijana Tanzania.
Wanachama wa UWT Jimbo la Arusha mjini wakimshangiria Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (pichani hayupo katika mkutano wa mwisho wa ndani wa CCM.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Maonyesho, Peter Pereira
Kuanzia kushoto Aliekuwa Mgombea udiwani wa ccm ndg Mwalimu David Mollel,Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha ndg Wilfred Soileli na Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha.
Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora Suzan Kaganda.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Liberatus Sabas.
Waandishi wa habari wakitekeleza majukumu yao katika moja ya mikutano.
Pichani ni athari na madhara yaliyosababishwa na mvua ambayo imenyesha usiku wa kuamkia juzi, wilayani Karatu na Monduli mkoani Arusha,
Vitalu vya miti kwenye mradi wa upandaji miti.
Minja, (Kulia), akiongozana na wakili wake, Godfrey Waonga wakati akiwasili mahakamani mjini Dodoma.