Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.

22 May . 2016

Mashabiki wa Yanga 'wakimgombania' kipa wa timu yao, Deo Munishi 'Dida' wakati timu ilipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

20 May . 2016

Wachezaji wa timu za Azam FC na Yanga wakikabiliana katika moja ya mchezo kati ya timu hizo.

26 Apr . 2016

Kikosi cha timu ya Yanga SC.

9 Apr . 2016

Kikosi cha timu ya soka ya Azam fc kikiwa katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Chamazi.

6 Apr . 2016

Kikosi cha timu ya soka ya Simba.

30 Jan . 2016

Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.

16 Jan . 2016

Kikosi cha Toto Africans

14 Feb . 2015

Beki wa Mbeya City, Juma Nyoso

6 Feb . 2015