
Kundi la P.O.D ambalo limeshiriki Dance100% kwa mara ya kwanza.

Mkuu wa Matukio ya Sanaa kutoka BASATA Bwn. Kurwijira N Maregesi

Kundi la Best Boys lilipokuwa likionyesha ufundi wa kucheza TCC Chang'ombe.

Kundi la Mafya Crew ambalo lilishiriki usaili wa kwanza.

Jaji wa Shindano la Dance100 Lotus akionyesha alama kwa moja ya kundi lililoshiriki usaili viwanja vya Don Bosco Upanga Dar es salaam.

Kundi la The Quest Crew, ambalo limefanikiwa kutinga tano bora ya usaili wa Dance100 Don Bosco Upanga Dar es salaam.

Kundi la J Combat Crew kutoka Zanzibar lilipokuwa likionyesha vipaji katika uwanja wa Don Bosco Upanga Dar es salaam

Jaji wa Dance100 Super Nyamwela

Jaji wa Dance100 Khalila akiwa anaonyesha alama kwa kundi lililoshiriki shindano.

Mtangazaji wa Shindano la Dance100% Tbway 360 alipokuwa akiendelea na kazi viwanja vya Leaders Dar es salaam.

Kundi la Mafia Crew lilipokuwa likionyesha uwezo wao shindano la Dance100%

Majaji wa shindano la Dance100% 2016 walipokuwa kazini Leaders Jijini Dar es salaam.

Maneja uhusiano wa Vodacom Tazania Bwn. Matina Nkurlu (wa katikati) akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.