
Nembo [logo] ya ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Kipa Ivo Mapunda wakati huo akiichezea Simba SC ya Dar es Salaam Tanzania.

Kocha mpya wa Everton Ronald Koeman

Mohamed Diame 'Mo' akishangilia bao lake la ushindi Sheffield.
Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.

Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam [katikati] akiwa na mabosi wa TFF.

Beki wa kulia wa timu ya soka ya Yanga, Juma Abdul.
Kikosi cha wagonga nyundo wa Jiji la Mbeya timu ya soka ya Mbeya City.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga.
Mchezaji kiraka Erasto Nyoni wa Azam Fc.

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF Jamal Malinzi.

Evance Aveva rais wa Klabu ya Simba
Kikosi cha Wagosi wa Kaya Coastal Union ya Tanga ambacho kimeshashuka daraja kwenda daraja la kwanza FDL.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe.

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib [wa mbele] akishangilia moja ya magoli yake akiwa Simba.