
Kipa Ivo Mapunda wakati huo akiichezea Simba SC ya Dar es Salaam Tanzania.
Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].

Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam [katikati] akiwa na mabosi wa TFF.
Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.

Beki wa kulia wa timu ya soka ya Yanga, Juma Abdul.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga.
Mchezaji kiraka Erasto Nyoni wa Azam Fc.

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF Jamal Malinzi.
Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba (kulia) akiwa na mmoja wa makocha waliowasili leo kutoka Hispania, Zebensul Hernandez Rodriguez.

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akikabidhiwa mpira katika moja ya michezo aliyopiga magoli matatu 'hat-trick'

Kocha Jamhuri Kihwelo wa Mwadui FC ya Shinyanga.

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.
Viungo wa timu za Simba na Azam Jonas Mkude 'fundi' [kulia] na Salum Aboubakar 'sure boy' wa Azam [kushoto] wakiwania mpira.